Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
Maonesho ya Mvinyo wa Afrika Kusini Yaangazia Ukuaji wa Sekta ya Utalii
Tanzania
-
DAR ES SALAAM
WADAU wa sekta ya ukarimu na utalii wameeleza umuhimu unaoongezeka wa
vyakula, mvinyo na uzoefu wa kiutamaduni katika kuimarisha nafasi ya ...
6 hours ago



0 comments:
Post a Comment