Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
Tanzanite Legacy Chess Club Yaibua Mabingwa Chipukizi wa Chess
-
Mashindano ya mchezo wa chess kwa watoto, Tanzanite Junior Chess
Championship, yamefanyika jijini Dar es Salaam, yakileta pamoja washiriki
kutoka shule...
56 minutes ago



0 comments:
Post a Comment