Sunday, April 13, 2014

WATU 17  wamejeruhiwa  watano hali zao zikielezwa kuwa mbaya  baada ya kitu kinachodhaniwa  kuwa ni bomu kulipuka katika baa iitwayo night Park katika eneo la Mianzini Jijini Arusha.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kumakia  leo  katika baa hiyo maarufu kwa kuwa na wateja wengi nyakati za jioni.
,
Watu walionusurika  John Bugege  na Lewis Nyali wakizungumza na waandishi wa habari muda mfupi  baada ya mlipuko kutokea walisema kuwa hawakuweza kujua namna tukio lilivyotokea na kwamba walisikia kishindo  kikubwa na watu kuanza kukimbia huku na kule na wengi kujeruhiwa kutokana na kukanyagana.

“Siwezi kueleza hasa nini kimetokea namshukuru Mungu nimetoka salama “alisema alamnusura mwingine Alfred Shayo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Saba alithibitisha kutoke akwa tukio hilo na kuongeza kuwa polisi wanaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha mlipuko huo na wahusika wa tukio hilo.

“Ni mapema mno kusema chochote majeruhi ni 17 na tayari wapo hospitali ya Mkoa Mount Meru kwa matibabu,,tutawapa taarifa zaidi kesho asubuhi”alisema Sabas katika eneo la tukio.



Tukio hilo ni la tatu kutokea kwa nyakati tofauti  ikiwemo la mlipuko katika kanisa katoliki Olasiti   na la pili katika mkutano wa siasa katika eneo la Soweto  na matukio hayo kusababaisha vifo kadhaa na majeruhi wengi.

Saturday, April 5, 2014

Tourists who desire to see Mount Kilimanjaro snows now have a reason to smile, as local ecologists say –“the ice is here to stay”.

Mount Klimanjaro  recent  out look photo


Kilimanjaro National Park ecologist, Imani Kikoti told a team of visiting journalists here that the glacier is till sufficient contrary to earlier projection that would vanish between 2015 to 2020.

Prof. Lonnie Thompson from United States of America, in 2002 declared that the snow could disappear within 15 years from that time due to effects of climate change.

“We are comfortable that the ice will not disappear as it was predicted by an American academician” Mr Kikoti said, adding that there are several ongoing studies on the same.

According to him, several initiatives such as massive tree planting around the mountain have somehow mitigated because they boosted the forest cover and consequently reduced the effects of global warming.

He implored residents of Kilimanjaro to continue planting the tree if the snow of the Mount Kilimanjaro, a major tourist’s attraction will remain steady.

Acting KINAPA Park warden, Eva Mallya, said that majority of tourists who climb mount Kilimanjaro every year are normally thrilled by the permanent ice-caped summit, than anything else.

For instance, last financial year, Mount Kilimanjaro attracted over 50,000 tourists across the world, leaving behind around Tsh 80 billion to the economy.

Kilimanjaro's glaciers are disappearing. The ice fields Ernest Hemingway once described as "wide as all the world, great, high, and unbelievably white in the sun" have lost 82 percent of their ice since 1912—the year their full extent was first measured.
If current climatic conditions persist, the legendary glaciers, icing the peaks of Africa's highest summit for nearly 12,000 years, could be gone entirely by 2020.

"Just connect the dots," said Ohio State University geologist Lonnie Thompson. "If things remain as they have, in 15 years Kilimanjaro's glaciers will be gone."

When Thompson's reports of glacial recession on Kilimanjaro first emerged in 2002, the story was quickly picked up and trumpeted as another example of humans destroying nature. 

It's easy to see why: Ice fields in the tropics—Kilimanjaro lies about 220 miles (350 kilometers) south of the Equator—are particularly susceptible to climate change, and even the slightest temperature fluctuation can have devastating effects.

"There's a tendency for people to take this temperature increase and draw quick conclusions, which is a mistake," said Douglas R. Hardy, a climatologist at the University of Massachusetts in Amherst, who monitored Kilimanjaro's glaciers from mountain top weather stations since 2000.

 "The real explanations are much more complex. Global warming plays a part, but a variety of factors are really involved."

According to Hardy, forest reduction in the areas surrounding Kilimanjaro, and not global warming, might be the strongest human influence on glacial recession.

 "Clearing for agriculture and forest fires—often caused by honey collectors trying to smoke bees out of their hives—have greatly reduced the surrounding forests," he says. The loss of foliage causes less moisture to be pumped into the atmosphere, leading to reduced cloud cover and precipitation and increased solar radiation and glacial evaporation.

Evidence of glacial recession on Kilimanjaro is often dated from 1912, but most scientists believe tropical glaciers began receding as early as the 1850s.

 Stefan L. Hastenrath, a professor of atmospheric studies at the University of Wisconsin, Madison, has found clues in local reports of a dramatic drop in East African lake levels after 1880. Lake evaporation indicates a decrease in precipitation and cloudiness around Kilimanjaro.

"Less cloud coverage lets more sunlight filter through and hit the glaciers," Hastenrath said. "That increase in sunlight then provides more energy for evaporation of the glacier."
Hastenrath found further evidence in sailing expedition reports from the same period.


Sunday, March 30, 2014

WATU 872  kutoka  kaya 72  katika  kata ya Bwawani Wilayani Areumeru Mkoani Arusha ,hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kusombwa na maji  pamoja na samani zao zao za ndani .

Mvua hizo pia zimeharibu mamia ya hekari zenye mazao mbalimbali   zilizokuwa zimepandwa na wananchi wa kata ya Bwawani katika vijini vya Temi ya Simba na Kijiji cha Bwawani .

Akizungumza na waandishi wa habari  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha  Wilayani  humo ,Fidelist Lumato Mvua hizo zilinyesha mwishoni mwa wiki na kufanya uharibu mkubwa ,na  kuathiri zaidi watu waliokuwa wakiishi katika maeneo ya mabondeni

Lumato amewataka wananchi wanaoishi wanaoishi katika maeneo ya mabonde kuhama ikiwa ni kuepusha madhara zaidi  yanayoweza kutokea kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha .

Aidha aliwataka kujenga nyumba imara kwa kutumia matofali yakuchoma ikiwa ni kuepusha madhara ya nyumba zao matope kusombwa na maji

Kufuatia maafa hayo wadau mbali mbali  wamejitokeza kusaidia watu hao ambao ni Halmashauri imetoa msaada wa magunia 180 ya mahindi kwa ajili ya watu hao ,mbegu za mazo zenye thamani ya million 4.

Wengine  waliotoa msaada ni  Kampuni ya Monaban  iliyotoa kilo 2000 za unga wa mahindi ,Kampuni ya Tanform magodoro 50 na unga kilo 200,Red cross msaada wa mablanketi 100,ndoo 50 za kuchotea maji  na Kampuni ya A-Z vyandarua  250 na Tisheti  200 ,Diwani wa kata ya Mlangarini Mathias Manga ametoa mabati 100 .

Akitoa ufafanuzi zaidi alisema kuwa hali za watu hao ni ngumu na kuomba wadau zaidi kujitokeza kuwasaidia waathirika hao .

Lumato alisema hao kwa sasa watu hao wamepatiwa hifadhi katika ofisi ya kijiji  cha bwawani na Kanisani,

Mwisho………………………………………………………………..


Friday, March 14, 2014

Tanzania Association of Tour Operators (TATO) has donated a total of 15 motorcycles to police force in Arusha, in a rare public-private-partnership to fight against crime.  
TATO Chairman ( far right )Willy Chambulo handing over the motor bike switch to Arusha regional commissioner  Magessa Mulongo 

The motorbikes worth Tsh 27 million will help the law enforces to battle with the wave of criminals who are currently riding motorcycles to terrorize people.

TATO chairman, Mr Willy Chambulo said they have decided to help the law enforces to efficient in battling crimes in northern tourism circuit.

“Arusha needs tourism for it to prosper and for that to happen we need to equip our police officers in order be effective to tame crime in this important town” Mr Chambulo said on Thursday during the handing over function.

Receiving the motorbikes, the Arusha regional Police commander, Liberatus Sabas said his force is in dire needy of transport gears like motorcycles in order to face the criminals who have been using motorbikes to sneak after committing crime.

“Criminals have changed their tactics and police also supposed to follow suit, if we are to win the battle. At the moment criminals use motorbikes and police also need the same motorcycle to face them” Mr Sabas noted.

He commended TATO for their support, adding that other stakeholders should also borrow a leaf.

TATO Public Relations Chief, Mr Zuher Fazal said that his association is committed to work together with the government to serve the community.

“Arusha needs to be secure and better place to live if tourists, investors and citizens to enjoy and to achieve this we must support our law enforcers” Mr Fazal noted.

For his part, Arusha Regional commissioner, Magessa Mulongo said at the moment, Arusha is safe compared to eight years ago where criminals turned the area as their hideout.

“We are grateful to TATO for being in fore front to compliment the government efforts. Now criminals should be aware that they can come, but they will never get out safely” Mr Mulongo said.


Saturday, March 1, 2014

Resident of three villages around  Engaruka area in Monduli District are up in arms against the government plan to mine  sodash  in Their area.

speaking with reporters, they said the move by the government to start the project without their involvement is totally against good governance.
Representative  Bird life international Baraka laizer showing journalists sodash  mining site near Engaruka
Babulo Alex a resident of Engaruka said if the project will  continue it is going to put their livelihoods in jeopardy because of the negative environmental  impact which is expected to  pose the area if implemented.
In her opinion, Noosikito Rwako said that the project should be terminated immediately and engages fresh dialogue with the villagers to get their views in order to protect their social economic interests.
 “This lake has been a source of water in our land, we feed our cattle’s here ,if they erect a mining plant here ,we are all going to perish “said Rwako.

She went on saying they have been puzzled to see big trucks and machines close to the lake that they depend upon for drinking water and their livestock without the knowledge of what is happening.

A community activists from Selela Village Loserian Ramadhani pointed out that that if the factory is built near the lake the  impact will be enormous and could cause the dam to dry.
Baraka Laizer a representative of Birdlife International said if the plant is  to be built at the same area  it will  pose a  significant environmental  impact to both human and wildlife sharing the ecosystem.
" Bird species of flamingos arrive in the Engaruka  lake  that lies a short distance from Lake Natron to breed ,wild animals will  also suffer greatly if the factory is bound here " said Laizer.

Laizer said most residents are of the opinion that tourism activities are environmental friendly and contribute   more to the livelihood of the villagers.

“ ,This lust of wealth should not lead these people  to suffer in the near future, the government should  consider facts and put its people interests  in  priority  .said Laizer.

He said more than eighteen thousands residents from Selela and Engaruka area are feared to be directly affected if the project will take off.

National development corporation (NDC) corporate affairs Manager Abel Ngapemba recently was quoted by the media saying  that  Tanzania government   is looking for a consultant to carry out socio-technical study for the Engaruka sodash  project which he said is  envisaged to stimulate the economy of Engaruka area 

Friday, January 3, 2014


WATU wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya kokoto katika eneo la Terat nje kidogo ya Jiji la Arusha.
Kufuatia tukio hilo  serikali mkoani Arusha imepiga marufuku uchimbaji wa kokoto katika eneo hilo na kuagiza kamati iliyoundwa mwaka jana baada ya ajali kama hiyo kutokea katika eneo la Moshono  kufanya uchunguzi katika migodi yote.

Kwa mujibu wa Mulongo kamati hiyo itatakiwa kuleta mapendekezo  na kuleta mapendekezo ya namna ya  kuboresha hali ya usalama katika machimbo.

Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa  Mulongo ametoa amri hiyo baada ya kufika katika eneo la tukio na kuongea na viongozi wa eneo hilo.

“Ile kamati sasa itaanza upya kuchunguza hali ya usalama na kuleta mapendekezo  ya kuhakiki hali ya usalama”alisema Mulongo.

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Arusha Liberatus Sabas aliwataja waliopoteza maisha kuwa ni Joseph Solomon  (18)na Saimon Petro(15) wote wakazi wa Muriet.

 Katika hatua nyingine jeshi   la polisi Mkoani  Arusha kupitia kwa kamanda Liberatus Sabas limewataka watu wanaomiliki migodi ya uchumbaji wa kokoto kuhakikisha kuwa wana vibali vya kufanya kazi hiyo.

“Tunapiga marufuku haya machimbo yanayoanzishwa kiholela na kuhatarisha maisha ya watu ,tutaanza kufuatilia na kuchukua hatua kwa kushirikiana na vyombo vingine vya serikali”alisema Sabas.
Aliongeza kuwa pia katika migogodi hiyo wahakikishe kuwa kuna usalama wa kutosha ikiwemo miundo mbinu ya tahadhari  na uokoaji.
Mashuhuda wa tukio hilo walisema kuwa lilitokea saa tatu asubuhi leo katika machimbo hayo baada  ngema kuwaangukia vijana waliokuwa wakichimba na kupakia moram katika gari lililofika katika machimbo hayo.
“lilitokea ghafla sana mimi nilikuwa juu mara nikasiakia ngema inakatika yaani nilishuhudia wenzangu wakifunikwa na udongo na kupoteza maisha”alisema manusura Loiruk Sandamu.
Tukio hilo ni la pili kutokea katika machimbo ya kokoto Jijijni Arusha baada ya mwaka  Machi 16 mwaka jana  kuanguka na kufukia watu 16 katika eneo la Moshono.


Wednesday, January 1, 2014

WADAU,wa uhifadhi wanyama pori   kati ya Tanzania na Kenya wameanzisha ushirikiano  wa kudhibiti  ujangili wa wanyama pori  katika  mpaka wa kaskazini  mwa Tanzania




Ushirikiano huo unahusisha kubadilishana taarifa za kihalifu,intelijensia na   kufanya doria za pamoja katika mapito ya wanyama pori  eneo hilo ambalo linaunganisha hifadhi za Arusha ,Kilimanjaro  na hifadhi ya Amboseli ya nchini Kenya

Wakizungumza katika  mkutano wa pamoja uliofanyika  katika eneo la hifadhi  jamii ya wanyama (WMA)  la Enduimet Wilayani Longido, walisema kuwa uwindaji wa tembo na simba katika eneo la mpaka limekuwa ni tatizo kubwa.

Mkuu wa usalama katika eneo la hifadhi jamii la enduimet Imanuel Bujiku alisema kuwa wawindaji wamekuwa wakiwinda wanyama na kukimbilia nchi jirani kukimbia kukamatwa.
Bujiku alisema kuwa  ushirikiano huo umehusisha idara zote za ulinzi usalama  katika nchi zote zikiwemo polisi na vikosi vya kudhibiti ujangili.
“  Lengo  kuu  la ushirikiano  wetu ni wa kuhakikisha eneo  la mapito ya wanyama kutoka hifadhi ya Amboseli Kenya  kuja Tanzania tunaweka ulinzi wa kutosha kuzuia mauaji ya wanyama   “alisema Bujiku
Kuhusu hali ya ujangili katika eneo la Enduimet alieleza kuwa kuanzia  mwezi januari hadi mwezi octoba mwaka huu jumla ya majangili 16  walikamatwa  pamoja  na gari 1  baiskeli 8 pikipiki 5 na watuhumiwa kufikishwa mahakakani
Naye mhifadhi jamii kutoka hifadhi ya Amboseli Kenya Francis Irungu alisema kuwa ushirikiano huo utadhoibiti ujangili na kuleta tija kubwa  katka uhifadhi wanyama pori.
“Hii ndio mbinu sahihi na endelevu ya kulinda wanyama katika nyakati kama hizi zenye changamoto kubwa za kihalifu dhiti ya wanyama pori,”alisema Irungu.
Kwa upande wake Samwel Ole Kaangi kutoka mfuko wa uhifadhi wa  Big  life nchini Kenya alisema kuwa ushirikiano huo umewafanya kuweka mpango kazi na utekelezaji kutokomeza ujangili katika eneo hilo.
“Wanyama wanauawa sana katika eneo hili ,tumekubaliana pamoja na uwezo tunao tutadhibiti ujangili wa tembo na wanyama wengine katika eneo hili”alisema Ole Kaangi.

Sunday, December 15, 2013


WATU sita wamefariki dunia popo hapo katika ajali mbaya iliyotokea katika barabara ya Arusha Namanga eneo la Longido Mkoani Arusha likihusisha gari dogo la abiria na lori la mizigo.
Gari la abiria  lililoua watu sita  




Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la polisi Mkoani Arusha lilitokea  5 za usiku wa kuamkia jana na kusabaisha abiria sita waliokuwa katika gari dogo aina ya noa kupoteza maisha baada ya gari dogo aina ya Noah kugongana uso kwa uso la lori la mizigo.

Mashuhuda wa ajali hiyo walisema kuwa gari dogo ambalo lilikuwa likitokea Arusha likiwabeba wapishi waliokuwa wakitokea jijini Arusha kwenda Longido kwa ajili ya sherehe za kipaimara na harambee  ya kumalizia ujenzi wa kanisa la KKKT.

Harambee hiyo ilikuwa iongozwe na waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa na katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.

“Nilikuwa wa kwanza kufika katika eneo la ajali nilishiriki kutoa miili sita ya watu waliopotea maisha wengine wawili walikuwa na hali mbaya wapo Hospitali “alisema Sendeu Parmwat shuhuda na mkazI wa Longido.

Parmwat alisema kuwa watu wote waliofariki papo ni wapishi waliokuwa wakiongozwa na mtaalamu wa mapishi anayejulikana kwa jina maarufu la Bonge Jijini hapa.
Alisema kuwa polisi walifika muda mfupi na kuanza kuchukua miili ya marehemu pamoja na kuwapeleka majeruhi katika hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
Shuhuda mwingine Stephano Laiser alieleza kuwa lori lililosababaisha maafa hayo lilikuwa limepaki pembeni ya barabara na halikuwa na taa.
Akizungumzia kuhusu ajali hiyo kamanda wa jeshi la polisi Mkoani Arusha Liberartus Sabas alisema kuwwatu hao wali[poteza maisha na wengine wawili wamelazwa hospitali ya Mkoa wa Arusha ya  Mount Meru.
“Abiria sita katika Noa yenye namba T 329AWJ  walipoteza maisha na hakuna majeruhi yeyote katika lori ,tunaendelea na uchunguzi lakini taarifa za awali zinaonyesha kuwa Noa ilikuwa katika mwendo kasi”alisema Kamanda Sabas.  
Aliwataja marehemu waliotambuliwa  kuwa ni Hamidu Msala maarufu kwa jina la Bonge,Habibu waziri ,Faridah Ibrahim ,Martha Gabriel wote wakazi wa Jiji la Arusha wengine wawili bado hawajatambuliwa.
Waandishi wa habari walishuhudia  ndugu jamaa za marehemu wakiwa katika uwanja wa eneo la kuhifadhi maiti katika hospitali ya Mkoa wa Arusha kufuatilia habari za ndugu zao.
Naye muuguzi wa zamu katika hospitali ya Mount Meru ambaye hawakuwa tayari kutaja jina alithibitisha kuwepo kwa majeruhi  wawili ambao alisema hali zao ni mbaya.
“Wako katika uangalizi wa juu ,majreha ni makubwa sana mmoja yuko hoi lakini tunajitahidi kuokoa maisha yao”alisema Muuguzi huyo.
Mwisho……



Tuesday, December 10, 2013

A multi-million-dollars Orkonerei Maasai Social Initiative (OMASI)’sExecutive Director, Mr Michel Bluteau has been arrested by police in Arusha allegedly in possession of bhang.

OMASI is a multi-million-dollars group of companies active in dairy and meat processing, environmentally friendly charcoal and honey production, with its base in Maasai land in northern Tanzania.

Acting Arusha Regional Police Commander, Assistant Commissioner of Police (ACP) Japhet Lusingu said in a statement that a 56-years old French investor was nabbed on Monday morning.

Operating on tip-off, statement shows, police detectives nabbed the suspect who was aboard Toyota Land Cruiser GX with registration number T. 626 AXU, near Sakina police station within the Arusha city.

ACP Lusingu said that his men stopped the vehicle and after searching they found the suspect in possession of bhang.

The police boss further said that Mr Bluteau was arrested with the five rolls of narcotics concealing in his laptop bag.

“Investigation on the matter is still underway and once it is done, the suspect would be arraigned before the court of law to answer the charges facing him” ACP Lusingu concluded in the statement.

Sources said that the investor was released on Monday afternoon after being questioned for hours in Arusha police headquarters.

The government has vowed to work closely with the tour operators in a latest effort to boost tourism growth in the country.
Natural Resources and Tourism Minister, Ambassador Khamis Kagasheki made a pledge at the weekend during the Tanzania Association of Tour Operators (TATO) annual gala dinner held in Arusha.

Minister of tourism and natural resources Ambassador Khamis Kagasheki flanked by Tanzania association of Tour operators  leaders


“I commend TATO for taking the tourism industry to the higher level as the country has witnessed a number of tourists clinching to one million mark this year, lets work together to boost the arrivals and revenues” Ambassador Kagasheki told the audience.
He promised the tourism captains the maximum cooperation from his ministry to make their operations more easy than ever before.
The Minister said that Tanzania doesn’t get the visitors it deserves taking into consideration that recently was voted as the second world best tourist destination only after Brazil in terms of natural attractions.
“We all know that the government is not doing business, our biggest role is to create an enabling environment for private sector to operate smoothly, so its up to you tour operators to promote tourism in order to bring more visitors” he stressed.
For his part, TATO chairman, Willy Chambulo demanded the government to recognize the contribution of tourism sector in the country economic growth.
Chambulo said that this year tourism has been the leading sector to bring more foreign currencies, surpassing the traditional gold mineral.
Bank of Tanzania (BoT)’s latest economic review shows that during the period between September 2012 and September 2013, revenues from tourism rose from 1.61 billion USD to 1.82 billion USD, while gold export revenues declined from 2.15 billion USD to 1.74 billion USD.
“We need the government to do the neediful like on security issues and taxation in order for them to promote the sector effectively” Chambulo explained.
TATO’s Public Relations chief, Fazal Zuher said the gala dinner will be an annual event to bring together players in tourism sector and the government officials not only to celebrate, but also to chart the way forward.
“This is new TATO and this gala dinner is one of the raft of events that will be held annually to bring together the key players in tourism and government officials to networking” Fazal concluded

Thursday, October 31, 2013

More than  600  former Street children in Arusha have a reason to smile ,thanks to Watoto foundation a charity organization which  offered them  basic education and  vocational skills.

Most of them are reported to have secured employment in hotels, tourist camps and others in private institutions.

Some of the children are reported to have engaged in entrepreneurship activities   and one is  a second year student in one of in the country. 

Speaking at a ceremony to mark ten years since its inception, the Director of Watoto Foundation Noud Van Hout said that many of the   children were taking drugs and causing havoc in Arusha streets.

The occasion also was saw number boys who have been on vocation training courses graduating.

"We started working and monitoring these children since 2003 when we started, they have changed from street children to good citizens, they are now responsible citizens ” Hout said.

He said that the children were taught farming and other vocational skills which have earned many of them jobs and a basis to begin a new life after the completion of their stay.

“Some years back Wherever you go in the town, lining the pavements and walkways are street children, young boys living on the fringes of society.but  the  foundation  has come up with a unique way to help Tanzania's street children rebuild their lives”

“I would like to appreciate the local government for its commitment in supporting our mission to give hope to  less privileged children in Tanzania”  Hout said.

 In his remarks , Arumeru District  Commissioner  Nyirembe Munasa  hailed the organization for  the good work.

" It is not necessary to be a leader is to do something good for the community or   your country , lets emulate from  the founders of this good course “Munasa said

He told the gathering that it is a high time to embrace the culture of being part of solution to the challenges facing  the underprivileged  groups in the society  especially the needy and those deemed unfit in society .

For their part children from the center who graduated in different courses in farming, agriculture and other vocation skills thanked the founders of Watoto home for changing their lives.

The ten -year jubilee was attended by government officials from Arusha and Kilimanjaro Regions, r eligious and community leaders from Arumeru and other areas in the country.

ends

Thursday, October 24, 2013

MTANDAO wa   mashirika ya wafugaji Tanzania (Tanzania Pastoralist Community Forum)umelaani vitendo vya ukatili na ukiukaji wa haki za binadamu ,unaofanywa  katika  operationi tokomeza Majangili inayoendeshwa  na serikali kwa lengo la kutokomeza ujangili dhidi ya wanyama pori

Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa habari  wadau hao wamedai kuwa zoezi hilo  limejaa matukio ya kusikitisha  na ya kudhalilisha  wananchi pia limesababaisha mamia ya watu kukimbia makazi yao kwa hofu ya kukamatwa.

Mratibu wa mtandao huo  Joseph Ole Parsambei amewaambia waandishi wa habari kuwa operationi hiyo imewatesa watu katika maeneo mbali mbali nchini na kama serikali haitaaangalia ukiukwaji wa sheria watalazimika kuiomba mahakama ilisitishe.

Alisema wafuagaji kutoka katika Wilaya za  Monduli ,Longido ,Simanjiro  na Wilaya ya Chunya  Mkoani Mbeya wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo hivyo.

Alifafanua kuwa  katika wilaya ya Monduli Kata ya Mswakini, watu wanne wamekamatwa na kupelekwa kusikojulikana  hadi sasa  na wengine kukimbia makazi yao  kwa hofu ya kukamatwa .

Wilaya ya Ngorongoro kijiji cha Ololosokwan watu 13 wamekamatwa na mifugo yao zaidi ya 2000 inashikiliwa Wilaya ya Serengeti ikiwa ni baada ya wiki mbili .

Wilaya ya Londido kijiji cha Oromba watu  nane wamekamatwa  kwa sababu hizo ,kupigwa na kunyanyaswa .

Katika Wilaya ya Simanjiro watu wawili wamekamatwa na kupigwa ,nyumba zao  kuchomwa na moto  na Wilaya ya Chunya Ng’ombe 169 zimetaifishwa  na mfugaji mmoja aliyetajwa jina la Magaka Ninya aliuwawa katika zoezi hilo .

Waziri wa mali asili na utalii  Balozi Khamisi Kagasheki alipoulizwa kuhusu madai hayo alikanusha na kusema kuwa zoezi hilo la kusaka mtandao wa ujangili hapa nchini linaendelea vizuri.

Tuesday, October 15, 2013

NGABOBO villagers in Arumeru district, Arusha region have raised nearly Tsh 10 million towards the construction of the secondary school in the village.

Officiated by the deputy Minister - Prime Minister's Office, Regional Administration, and Local government, Aggrey Mwanri, the villagers have contributed a number of cattle, goats, sheep, and cash.

Mwanri commended the villagers, mostly Maasai, for their spirit of contributing towards their own development agendas.

He said that the community has chosen the right path of educating their children, calling upon to educate their children irrespective of their gender.

“Girls should be given equal opportunity to study just like boys.” Mr Mwanri said.

He also poured a lot of praise upon Africa Amini Alama organization for mobilizing rural community to contribute towards their development endeavors.

The fundraising was organized by the founder of Africa Amini Alama charity, Dr. Christine Wallner after having realized that the Maasai children need secondary school around. 
Dr. Christine appealed to the affluent people to join the vilagers hands by donating towards the building of the secondary school.

Dr. Cornelia Wallner-Frisee, Africa Amini Alama Vice-president expressed her gratitude to the women who took part in large number in the fundraising event.

Tuesday, September 3, 2013

Small Industries Development Organization in Arusha plans to set up Tsh 100 million packaging materials plant in the near future
Arusha Regional SIDO Manager, Isidore Kiyenze said at the moment he was mobilizing resources for the packaging material factory in order to mitigate the challenge of shortage of the much-needed products.
“We need around Tsh 100 million to be able to buy a modern packaging machine” Mr Kiyenze said during the training of horticultural products processors in northern zone.

Tanzania Horticultural Association (TAHA) complains that limited access to packaging materials in the country and exorbitant taxes charged on imported consumable materials are the challenges facing the small-scale processors.

“The government charges 55 percent taxes in addition to 18 percent VAT for imported consumable materials comprising packaging materials are making the locally processed horticultural products extremely expensive” TAHA Executive Director, Jacqueline Mkindi said.
David Elias, a peanut butter processor in Arusha said that the lack of packaging material is the biggest challenge facing their trade.
“Majority of large buyers are not willing to procurement our products mainly due to poor packaging” Elias told journalists during the training.
He further noted that they couldn’t afford to import packaging materials because they attract high taxes.

Meanwhile; TAHA and SIDO have agreed to conduct a series of training for horticultural processors on new skills of processing their products

The first group of beneficiary of 20 small entrepreneurs in northern zone have completed their course on the new processing technics and products packaging.

“We want to train a pool of trainer of trainers (ToT) in horticultural products processors in order to train others” Mkindi said.
The food and nutrition guru from New Zealand, Dr. Anne Perera said Tanzania’s processors have the potential to capture international markets with their organic horticultural products.

“I have seen the potential, the local processors only need guidance to comply with international regulations to venture into the wider international markets” Dr. Perera said at the end of training she conducted over the weekend in Arusha.

Saturday, August 10, 2013

Prevention of mother-to-child HIV transmission (PMTCT) in lake zone has has been reduced by over 98 percent, thanks to the efforts by a local organization.

Aerial Glaser Pediatric Aids Health Care Initiative (AGPAHI), effective, accessible, and scalable interventions within existing maternal and child health services, are the factors behind the life saving success story.
Children who were born free from HIVAIDS standing with their Parents.

Figures from different care and treatment clinics (CTC) in Shinyanga andGeita regions, indicate that less than two percent of infants were now infected of HIV virus by their mothers.

This means that 98 percent of the newborn babies are now born by HIV and Aids infected mothers, free from the virus.

Dr. Honoratha Rwezaura, CTC coordinator Bukombe District, Geita region, told the visiting journalists that in 2011/12 100 out of 109 new borns were born without HIV virus, meaning that only nine infants were infected.

"This could not be possible without AGAPHI in partnership with the government. They have  been providing various  facilities such as  laboratory equipments, trainings for health workers, among others,  that are factors behind the success story in PMCTC" Dr. Rwezaura told the scribes.

Statitics from Maganzo dispensary in Kishapu district in Shinyanga region, which also under AGPAHI indicate that the a total of 122 infants were born free from the HIV virus, out of 138 babies who were born by HIV positive mothers.

According to Maganzo Medical officer incharge, Sam Phillip the AGPAHI's support of care and treatment has been a life savier for new borns , who  otherwise could have been infected by their mothers.

AGPAHI Executive Director, Laurean Bwanakunu said that prevention of mother-to-child HIV transmission  can be accomplished by effective, accessible, and scalable interventions within existing maternal and child health services.

“There’s no execuse for infants to be infected by their mothers at the moment where we have sufficient life prologing drugs for the people living with HIV and AIDS” Mr Bwanakunu explained.


It is understood the transmission of HIV from mothers to their infants contributes substantially to global morbidity and mortality for children under-5 years of age.

Approximately 1000 HIV-infected infants are born every day, mostly in sub-Saharan Africa, amounting to nearly 370,000 new pediatric infections annually UNAIDS.

Without treatment, over half of these children will die before the age of two.

AGPAHI is a local organization affiliated to the Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation (AGPAF) focusing on pediatric AIDS and health care. The NGO  works with he ministry of Health and Social Welfare and other stakeholders to eliminate Pediatric AIDS.

The Organization supports efforts to increase access to and enrollment  in a comprehensive  package of sustainable , high quality and cost effective  care and treatment  services for HIV infected  families in the areas including Family Planning and PMCTC.

Time Management

Translator

Popular Posts

Fellow Bloggers

Popular Posts

Visitors Worldwide

Total Pageviews