WATU 17 wamejeruhiwa watano hali zao zikielezwa kuwa mbaya
baada ya kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kulipuka katika baa iitwayo
night Park katika eneo la Mianzini Jijini Arusha.
Tukio hilo
lilitokea usiku wa kumakia leo katika baa hiyo maarufu kwa kuwa na wateja wengi nyakati za
jioni.
,
Watu walionusurika John Bugege
na Lewis Nyali wakizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya...
DKT. KIKWETE: NCHI ZA AFRIKA ZINAHITAJI KUWEKEZA ZAIDI KATIKA TAFITI NA
KILIMO
-
Na.Vero Ignatus ARUSHA
Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa
lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga ...
8 hours ago