WATU 17 wamejeruhiwa watano hali zao zikielezwa kuwa mbaya
baada ya kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kulipuka katika baa iitwayo
night Park katika eneo la Mianzini Jijini Arusha.
Tukio hilo
lilitokea usiku wa kumakia leo katika baa hiyo maarufu kwa kuwa na wateja wengi nyakati za
jioni.
,
Watu walionusurika John Bugege
na Lewis Nyali wakizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya...
JWTZ yajivunia kutoa msaada na uokoaji kwa binadamu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa limesema limeimarisha uwezo wa
Jeshi la Kujenga Taifa (JWTZ) katika shughul...
2 hours ago