WATU 17 wamejeruhiwa watano hali zao zikielezwa kuwa mbaya
baada ya kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kulipuka katika baa iitwayo
night Park katika eneo la Mianzini Jijini Arusha.
Tukio hilo
lilitokea usiku wa kumakia leo katika baa hiyo maarufu kwa kuwa na wateja wengi nyakati za
jioni.
,
Watu walionusurika John Bugege
na Lewis Nyali wakizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya...
TARURA KIGAMBONI YAANZA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KM 42 KUPITIA MRADI WA
DMDP II
-
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi
wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la
Da...
2 hours ago