Monday, December 24, 2012

WILD DOGS FEW MINUTES AFTER THEIR RELEASE


President of The United Republic Of Tanzania  Dr Jakaya Kikwete (right)   officiating the Wild dogs release to Serengeti National Park,the dogs were kept in a fenced plot for 3 month to help them forget where they lived before and find Serengeti their home.
Vodacom Tanzania contributes 450 million Tshiling   in the project to bring back the dogs.

Wednesday, December 19, 2012



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (kulia), akisisitiza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akitoa taarifa ya mkutano wa Kamati Kuu ya chama hicho. Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Willibrod Slaa.
Kamati  Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imebaini upungufu katika mchakato unaoendelea wa mabadiliko ya Katiba na kuiagiza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutumia njia za kibunge kuhakikisha tume huru ya uchaguzi inapatikana na sheria zinazosimamia uchaguzi zinarekebishwa kabla ya Katiba Mpya haijaundwa mwaka 2014.

Njia hizo za kibunge, ambazo kambi hiyo inayoongozwa na Chadema bungeni inataka kuzitumia, ni pamoja na kuwasilisha hoja au miswada binafsi bungeni kupendekeza marekebisho ya katiba mpito ili kuhakikisha tume huru ya uchaguzi pamoja na marekebisho ya sheria hizo vinafanyika.

Tamko hilo lililotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni miongoni mwa maazimio 10, yaliyofikiwa na Kamati Kuu ya chama hicho, katika mkutano wake wa siku mbili uliohitimishwa Desemba 16, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.

Mbowe, ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, alisoma maazimio hayo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana.

“Kamati Kuu imepokea taarifa ya awali kuhusu mchakato wa katiba mpya na kubaini upungufu katika mchakato unaoendelea (wa mabadiliko ya katiba),” alisema Mbowe.

Alisema upungufu ambao Kamati Kuu imeubaini kuwapo kwenye mchakato wa mabadiliko ya katiba, unaweza kukwamisha upatikanaji wa Katiba Mpya na bora mwaka 2014 kama ilivyotangazwa na serikali na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba.

Kutokana na hali hiyo, alisema Kamati Kuu imeazimia kwamba, kamati yake ndogo ikutane kwa haraka na kufanya tathmini zaidi na kutoa taarifa kwa umma kuhusu suala hilo.

“Aidha, kamati hiyo iwasilishe mapendekezo kwa tume ya mabadiliko ya katiba juu ya maoni ya Chadema ya kuzingatiwa katika katiba mpya na mapendekezo kwa serikali juu ya marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba awamu ya pili na ya tatu kwa pamoja ili nchi ipate katiba mpya na bora yenye mwafaka wa kitaifa,” alisema Mbowe.

Alisema wanahofu kwa mwendo ulivyo katika mchakato wa mabadiliko ya katiba, huenda Katiba Mpya isiwe tayari kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2014 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Mbowe alisema hawana sababu ya kuiamini Tume ya Mabadiliko ya Katiba wala serikali kwa kuwa hakuna mtu anayejua kama majimbo ya uchaguzi yatakuwaje, viti maalum, Bunge nakadhalika.

Alisema hofu ambayo Jukwaa la Katiba iliyonayo kuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba unavyokwenda ni ya msingi sana.

Mbowe alisema agizo la Kamati Kuu kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni limezingatia kuwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kura ya maoni ya Katiba Mpya itasimamiwa na tume ya sasa kwa mfumo wa kikatiba na kisheria usio huru.

Alitaka mchakato wa mabadiliko ya katiba usiwafunge Watanzania kufanya mambo mengine ya msingi kwa maslahi na usalama wa taifa, kama vile kuifanyia marekebisho Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na sheria zote zinazosimamia uchaguzi, ambazo zinaweza kuwa ni kikwazo cha kuwa uchaguzi huru na wa haki. 

“Uchaguzi wa hila na uchaguzi wa uchakachuaji hatutaukubali. Mwaka 2013 marekebisho ya sheria za uchaguzi yafanyike. Kwa sababu tumetumia mwaka 2011 na 2012 kujadili na kuipa muda serikali. Wasidhani tunacheza makida makida,” alisema Mbowe.

Alisema Sheria ya Uchaguzi, ambayo ni ya mwaka 1985, inapaswa kufanyiwa marekebisho kwa kuwa ina umri mrefu, ilitungwa kukiwa na mfumo wa chama kimoja na kwamba, tangu kipindi hicho, imefanyiwa marekebisho mara chache, hivyo imepitwa na wakati.

Mbowe alisema miongoni mwa mambo yanayoshawishi kutaka sheria hiyo ifanyiwe marekebisho ni pamoja na kutoruhusu Watanzania wanaoishi nje ya nchi kupiga kura katika uchaguzi kumchagua kiongozi wanayemtaka.

UCHAGUZI WA MADIWANI, MITAA

Mbowe, ambaye pia ni Mbunge wa Hai, alisema Kamati Kuu pia imetaarifiwa juu ya kucheleweshwa kwa chaguzi za marudio za udiwani, mitaa, vijiji na vitongoji katika maeneo mbalimbali nchini.

Kutokana na hilo, alisema Kamati Kuu imeazimia kwamba, uongozi wa Chadema katika maeneo husika uunganishe umma kufanya shinikizo la kisiasa kwa mamlaka zinazohusika kutangaza nafasi hizo kuwa wazi na vyombo vinavyosimamia chaguzi katika ngazi hizo, ili haki za kikatiba na kisheria za wananchi kupata uwakilishi zipatikane kwa wakati.

DAFTARI LA WAPIGAKURA

Alisema pia Kamati Kuu ilizingatia hatua ya serikali na Nec kukwepa wajibu wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura (DKWK) tangu mwaka 2010.

Mbowe alisema hali hiyo inaathiri haki za wananchi kupiga kura na matokeo ya chaguzi za marudio zinazofanyika.
Hivyo, alisema Kamati Kuu imeazimia kwamba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ichukue hatua za kibunge kuhakikisha kwamba, DKWK) linaboreshwa mwaka 2013 ikizingatiwa kuwa daftari hilo hilo litatumika kwenye kura za maoni za Katiba Mpya.

HOJA ZA ZITTO, MDEE, LISSU

Alisema pia Kamati Kuu imetaarifiwa kuhusu hoja binafsi zilizowasilishwa na wabunge wa Chadema; Halima Mdee (Kawe) kuhusu ugawaji kiholela wa ardhi na Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) kuhusu fedha zilizofichwa nje ya nchi na maazimio yaliyopitishwa an Bunge kuhusu hoja hizo.

Mbowe alisema pia imetaarifiwa kuhusu kusudio lililotolewa na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, kuhusu hoja ya uteuzi wenye kasoro wa baadhi ya majaji.

Kutokana na hali hiyo, alisema Kamati Kuu imeazimia kwamba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ifuatilie kwa karibu serikali kuhusu hoja hizo na kupendekeza hatua za ziada za Chadema kuwaunganisha wananchi iwapo hakutakuwa na uwajibikaji unaohitajika.

OPERESHENI M4C

Mkutano huo wa Kamati Kuu ulijadili ajenda mbalimbali, ikiwamo yatokanayo na mikutano yake miwili iliyopita, taarifa ya hali siasa, mapendekezo ya mwendelezo wa Operesheni ya Vuguvugu la Mabadiliko (M4C) na taarifa kuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba na kufanya maamuzi.

Alisema walizuia M4C ili kutoa fursa kwa Rais Jakaya Kikwete kujibu barua waliyomwandikia na mazungumzo waliyofanya juu ya hoja ya kuundwa Tume ya Kimahakama/Kijaji kuchunguza mauaji yaliyofanywa dhidi ya mwandishi wa habari aliyekuwa mwakilishi wa kituo cha televisheni ya Channel ten, marehemu Daudi Mwangosi.

Lakini alisema kutokana na kutopata majibu kwa zaidi ya miezi mitatu sasa, kuanzia Januari, mwakani, hawatasubiri tena majibu ya barua hiyo, badala yake watashinikiza wananchi kulaani mauaji hayo.

Alisema mwaka 2013 utakuwa ni mwaka wa nguvu ya umma na kwamba, M4C itatangazwa rasmi mwishoni mwa Januari, mwakani.

“Tunataka kwenda katika kila kituo ndani ya miezi 12 katika mwaka 2013,” alisema Mbowe na kuongeza: “Tumechoka kuibembeleza serikali,” alisema.
Regional forensic experts have convened in Uganda’s capital, Kampala, to consider modalities of bringing into operation the East African Community's (EAC) Referral Forensic Centre.
According to EAC Deputy Secretary General in Charge of Political Federation Dr Julius Rotich, the three-day meeting would chart out the way forward for the regional facility since it was approved by the EAC Inter-State Security Council last August in Kigali, Rwanda.

"They will be looking at the structures and funding, among others, to kick-start the regional facility,’’ he said. The centre’s seat was unanimously approved by the partner states to be Kampala.

Forensic science is the practical application of science to legal matters. In criminal law, forensic science can help prove the guilt or innocence of a defendant. In civil actions, forensic science can help resolve a broad spectrum of legal issues through the identification, analysis and evaluation of physical evidence.

Addressing the first technical meeting, the EAC Deputy Secretary General underscored the importance of peace and security in the region for mutual development.

"We are taking the issues of peace and security in the region very seriously and I urge partner states to fully support the EAC established RFRC,’’ he said, adding that the importance of the regional forensic services becomes even more critical in the advent of regional integration which has now moved to the second stage of the Common Market where there will be free movement of labour, capital, goods and services.

Dr Rotich told the delegates that the task ahead of them was pioneering nature and to provide a precedent to be emulated in the identification, establishment and operationalization of other centres of excellence in policing disciplines for the benefit of East Africans.

Leni Mugalu of Uganda, chairman of the meeting, wanted partner states to ensure success of the RFRC.
"Let’s all work to make this a reality for our common peace and stability," he said.

EAC peace and security officer Didacus Kaguta told the East African News Agency (EANA) on the sidelines of the meeting that the RFRC would provide standards and quality control, expertise, training, and research.

The centre would complement national capabilities but have regional responsibilities. It will not compromise national capabilities in the provision of forensic services.

Friday, December 14, 2012



Male chauvinism, where men are treated as more important than women, is still widespread amongst the Maasai community, it has been learnt.
However, the resilient culture is currently under pressure, as women reportedly are slowly starting to claim equal rights in land and other properties.
Ololosokwan villager Nairri Parakwo from Ngorongoro district feels that there are some oppressive cultures like the one known, as ‘economic apartheid against women’, which should be abandoned.
“A living example of the oppressive Maasai culture is men chauvinism, where women are not allowed to own any property, including land,” she said.
Parakwo said without land women have not been able to engage in meaningful economic activities like agriculture, business and livestock keeping because they need land.
Malambo villager Ndawasai Naitisile said that women have been sidelined in decision making like negotiating deals with prospective investors.
“Not a single woman is a signatory in any investment in this area today. All contracts, with regards to investments, have been sealed by men,” she noted.
Parkipuny Saibulu said that the Maasai culture define woman as a tool for taking care of family. “Traditionally, it’s impossible for a woman to own land, livestock and other resources in Maasai community. Women are vested with home chores,” he noted.
Aware of the situation, the Ujamaa Community Resources Team (UCRT) has embarked on a one-year project with an eye to advance the land rights for pastoral women in northern Tanzania.
UCRT gender officer Paine Eulalia Saing’eu said the project would specifically help women in forming women leadership forums and also train them on land laws at the grassroots level.
“So far, almost all villages in Ngorongoro have been covered and nearly 148 women leadership forums have been formed to spearhead the diplomatic campaign to claim their rights,” she noted.
UCRT hopes that, through women leadership forums in the communities, women voices could be heard in the corridors of power.
“Starting a women’s leadership forum is an initiative to recognise women’s capacity in various decision-making machinery,” commented Simon Alakara, a UCRT field officer.
He said their training package covers the Land Act number 4 and 5 of 1999, Land Dispute Settlement Act number 2 of 2002, Local Government – District Authorities Act number 7 of 1982, Land Use Planning Act number 6 of 2007.
The UCRT is also working to assist a total of 19 women from Hanang to get title deeds for their lands.
The project is expected to reach nearly 400 women in Ngorongoro, Simanjiro, Kiteto, Monduli, mbulu, karatu, Hanang, Arumeru and Longido districts.

Monday, December 10, 2012


Umoja wa Mataifa unasema kuwa jeshi la Sudan Kusini limewapiga risasi na kuwauwa watu 10, ambao walikuwa wakiandamana kupinga kuhamishwa kwa makao makuu ya serikali za mitaa magharibi mwa nchi.
Wanajeshi wa Sudan Kusini
Afisa wa kuweka amani wa Umoja wa Mataifa huko Bahr el-Ghazal amesema watu wane waliuwawa katika mji wa Wau kwenye mapambano ya jana usiku.
Na wengine sita waliuwawa baada ya kukusanyika kulalamika juu ya mauaji ya awali.
Jeshi la Sudan Kusini limekataa kusema kitu.


The BBC's Shaimaa Khalil says President Morsi's opponents warn he has not heeded their main complaint
Egypt's opposition has rejected an attempt by President Mohammed Morsi to end an increasingly bitter face-off.
Mr Morsi annulled a decree that gave him huge powers, but vowed that a vote on a new constitution would go ahead.
Opposition leaders rejected the move and called for protests on Tuesday. Later, Islamist groups said they would hold counter demonstrations.
The president's critics accuse him of acting like a dictator, but he says he is safeguarding the revolution.
In a statement after talks on Sunday, the opposition National Salvation Front said it would not recognise the draft constitution "because it does not represent the Egyptian people".
"We reject the referendum which will certainly lead to more division and sedition," spokesman Sameh Ashour said at a news conference.
The opposition says the body that drafted the constitution was dominated by Mr Morsi's Islamist allies.
In response, the Alliance of Islamist Forces, an umbrella group that includes Mr Morsi's Muslim Brotherhood, said it would hold rival demonstrations.
The group said its rallies would support of the referendum and the president under the slogan "Yes to legitimacy".
Army warning
The situation is as tense as ever, says the BBC's Jon Leyne in Cairo.
He says the president has ordered the military to maintain security and protect state institutions in the run-up to the referendum, a move that will raise fears of a return to military rule.
The army has built a wall of concrete blocks to seal off and protect the presidential palace, which has been the focus of opposition demonstrations.
Earlier, Mohamed Soudan, foreign relations secretary of the Muslim Brotherhood's Freedom and Justice Party, said Mr Morsi was constitutionally bound to go ahead with the vote.

Egypt's crisis

  • 22 Nov: Presidential decree gives Mr Morsi sweeping new powers
  • 30 Nov: Islamist-dominated constituent assembly adopts draft constitution
  • 1 Dec: Mr Morsi sets 15 December as date for constitutional referendum
  • 2 Dec: Judges go on strike
  • 5 Dec: Clashes outside presidential palace
  • 7 Dec: Protesters breach palace cordon
  • 8 Dec: Mr Morsi rescinds his presidential decree but remains firm on referendum
Mr Morsi's decree of 22 November stripped the judiciary of any right to challenge his decisions and triggered violent protests in Cairo.
Although the decree has been annulled, some decisions taken under it still stand.
The general prosecutor, who was dismissed, will not be reinstated, and the retrial of the former regime officials will go ahead.
The president's supporters say the judiciary is made up of reactionary figures from the old regime of strongman Hosni Mubarak.
Egypt's powerful military has warned it will not allow Egypt to spiral out of control and has called for talks to resolve the conflict.
But his opponents have mounted almost continuous protests since the decree was passed.
Several people have been killed in the recent spate of protests on both sides, and the presidential palace has come under attack.
The Cairo headquarters of the Muslim Brotherhood, the movement to which Mr Morsi belongs, were set on fire.

Thursday, December 6, 2012

Cross cultural experience between Meru and Masai communities at Ngarenanyuki .We were told that none of them speak swahili or  English language but their smiling faces  tells more.

Wednesday, December 5, 2012


 
Wakili  wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Vitalis Timon, ameiambia Mahakama ya Rufani kuwa waliopinga matokeo ya ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, hawakuwa na haki ya kufanya hivyo kisheria na kwamba matusi, kejeli na kashfa haviwezi kumvua nafasi hiyo.

Alidai kuwa matusi hayawezi kumvua ubunge Lema kwani wabunge wenyewe walitunga sheria namba nane ya mwaka 1995 ikiruhusu matusi baada ya kuona awali kuwa walikuwa wakibanwa na mahakama.

Wakili Timon alitoa madai hayo katika Mahakama ya Rufani mbele ya jopo la majaji watatu lililowajumuisha Jaji Nathalia Kimaro, Salum Massati na Benard Luanda, waliposikiliza rufaa iliyowasilishwa na Lema akipinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha wa kumvua ubunge.

Lema alivuliwa ubunge Aprili 5 mwaka huu kufuatia kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Mkanga, Happy Kivuyo na Agnes Mollel.

“Wapiga kura hawawezi kupinga matokeo ya uchaguzi wakati yanayotokea katika kampeni hayawahusu, mpiga kura si sehemu ya kamati ya maadili na hana haki katika kampeni...katika ushahidi walalamikaji walidai kwamba walimshauri Batilda (aliyekuwa mgombea wa CCM) kwa muda mrefu afike mahakamani, alikataa ndipo wakaamua kwenda wao mahakamani,” alidai na kuongeza kuwa:

“Julai 31, 1995 Bunge lilipitisha sheria namba nane wakisema kwamba matusi si sababu ya kutengua matokeo, wenyewe Wabunge waliruhusu watukanane katika sheria waliyotunga, wanapenda kutukanana, wabunge walijipendelea wakati wakitunga sheria hiyo baada ya kuona mahakama inawabana katika eneo hilo, waacheni watukanane waliyataka wenyewe,” alidai wakili huyo mwandamizi wa serikali.

Timon alidai kuwa wanaohusika wakati wa kampeni ni wagombea, vyama vya siasa, mawakala wa wagombea na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na kwamba wapiga kura wanahusika kulalamikia hatua za usajili wa wapiga kura na wakati wa kupiga kura.

 “Waheshimiwa majaji, waliokuwa na maslahi binafsi katika kesi hii ni waliopoteza jimbo. Baada ya uchaguzi CCM walikaa kikao na kuazimia kulirudisha jimbo kwa kufungua kesi, walikuwa na nia mbaya walipofungua shauri hili,” aliendelea kuieleza mahakama.

“Sioni kwa nini Jaji wa Arusha aseme Lema alikuwa na maslahi binafsi katika ushahidi wake kwa kuleta wanachama wa Chadema kutoa ushahidi, angewaleta watu gani zaidi ya hao waliokuwapo wakati wa kampeni?” alihoji.

 “CCM walileta mashahidi wa CCM, lakini hawakuambiwa kwamba walikuwa na maslahi binafsi, naunga mkono rufaa na naomba uamuzi wa kumvua Lema ubunge utenguliwe,” aliiambia mahakama.

Wakili wa Lema, Method Kimomogolo, akizungumzia hoja 18 za kukata rufaa hiyo, alidai kwamba Jaji aliyetoa hukumu ya kumvua ubunge Lema, Gabriel Rwakibarila, alikosea kisheria kuvutiwa na njia walizotumia shahidi wa 11 na 14 badala ya kuzingatia uzito wa ushahidi waliotoa.

 “Alivutiwa na shahidi wa 11 Amina Ally ambaye anaishi kwa kuuza mitumba na shahidi wa 14 ambaye alitumikia jeshi nje ya nchi na akastaafu kwa kuogopa kupelekwa tena nje ya nchi,” alidai Kimomogolo.

“Jaji alikosea kuegemea katika ushahidi usioaminika na ushahidi wa mdomo bila kutafuta ushahidi mwingine wa kuunga mkono hivyo kuifanya hukumu kutokidhi vigezo vya kuitwa hukumu,” alidai Kimomogolo.

Kimomogolo alidai kuwa Jaji Rwakibarila wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga katika hukumu yake hakutumia mifano ya kesi mbalimbali zilizoamuliwa na Mahakama ya Rufaa, japo alipelekewa ili azirejee na mawakili wa pande zote mbili.

Kimomogolo aliendelea kulieleza jopo hilo la majaji kuwa Jaji Rwakibarila hakuchanganua wala kupima ushahidi licha ya kuwasilishiwa viini vikuu vilivyokuwa vinabishaniwa.

“Mrufani hakuwahi kukamatwa na Polisi wakati wa kampeni kwa kutukana na jaji hakusema makosa gani ya jinai yalitendwa na mrufani katika kampeni zake,” alidai.

Alidai kuwa uamuzi uliomvua ubunge Lema ukikubaliwa na kuruhusu kila mtu apinge matokeo ya uchaguzi kwa kufungua kesi, hali itakuwa mbaya na kuongeza kuwa mtu afike mahakamani kwa malalamiko yanayomhusu.

“Jukumu la kutetea maslahi ya Taifa ni la Mwanasheria Mkuu wa Serikali, si wanachama wa CCM waliopinga ubunge, kama wanaona AG hafanyi kazi vizuri, wananchi wamwajibishe,” alidai.

Wakili Kimomogolo alirejea kesi mbalimbali zinazofanana na kesi ya Lema ikiwamo ya Joseph Warioba dhidi ya Stephen Wassira, Basil Mramba dhidi ya Leonce Ngalai, William Bakari dhidi ya Mgonja na kesi ya Walid Kabourou  iliyoamuliwa miaka 16 iliyopita na watu waliwasilisha hadi `tape' mahakamani.

“Kwa nini katika kesi ya Lema wajibu rufani hawakuwasilisha hata ushahidi wa `tape' kuonyesha matusi aliyotukana?” alihoji Kimomogolo.

Wakili wa wajibu rufani, Alute Mughway, alidai mashahidi wao walieleza kila kitu mahakamani na jaji alikuwa anajua nani mwenye jukumu la kuthibitisha kesi.

Alidai kuwa ushahidi uliotolewa haukupaswa kuungwa mkono na ushahidi wowote na kwamba siasa za uchaguzi zinatakiwa kuwa safi kwani hata katika kanuni za uchaguzi wanaonywa kuhusu matusi, kejeli na kudhalilishana.

“Siasa za matusi ni siasa za maji taka zilikatazwa, kanuni zilizokataza zilisainiwa na vyama vyote, watu wanachaguliwa kwa hoja si kungurumisha matusi na kuwadhalilisha wagombea wengine,” alidai Mughway.

Alidai kuwa hukumu ilikidhi viwango vyote na kuomba rufaa itupiliwe mbali kwa sababu zilizotolewa na mrufani hazitoshelezi kutengua uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.

“Waheshiwa, tunaomba uamuzi wa Mahakama ya Arusha ubaki kama ulivyokuwa na warufani waamuriwe kulipa gharama za kesi,” alidai. Kesi iliahirishwa hadi tarehe ya hukumu itakapopangwa.

 Akizungumza katika viunga vya mahakama hiyo baada ya kuahirishwa kesi hiyo, Lema aliwasihi wanachama wake kuwa watulivu katika kipindi hiki kigumu wakati wanasubiri hukumu.

“Hiki ni kipindi kigumu wakati tunasubiri hukumu kutolewa kuliko tulipokuwa tunasubiri usikilizwaji wa rufaa hii, nawasihi muwe na utulivu kwani kila mmoja amesikia mahakamani mawakili walivyotoa hoja zao,” alidai Lema.

Aliwataka kuwa watulivu waiachie mahakama ifanye kazi yake kwa mujibu wa sheria na kwamba haki itatendeka.

Mapema saa 2:00 asubuhi, viunga vya mahakama hiyo vilifurika wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Lema waliofika kusikiliza kesi hiyo pamoja na wananchi mbalimbali.

Ukumbi namba moja wa mahakama hiyo ulifunguliwa saa 2:30 asubuhi na saa 3:00 asubuhi  jopo hilo liliketi chini na kuanza kusikiliza hoja za mawakili wa pande zote mbili.

Kesi hiyo iliahirishwa hadi jopo litakapopanga tarehe ya hukumu kama Lema atarudishiwa ubunge wake ama la.

Tuesday, December 4, 2012

WIKI, moja baada  ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchikavu (Sumatra) kupokea maoni ya kuongezeka kwa nauli za mabasi yaendayo mikoani kutoka kwa wadau wa usafiri, nauli za mabasi hayo zinadaiwa kuanza kupanda.

Habri   kutoka kwa baadhi ya makarani wa kampuni za mabasi yaendayo  mikoani katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendeyo mikoani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam zinaelza  kuwa nauli zimeanza kupanda hasa kwa magari yaendayo mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.

“Baadhi ya magari yanayokwenda mikoani yameshaanza kuongeza nauli toka Shilingi20, 000 na 22,000 hadi 25,000 kwa magari yaendayo  Arusha na Kilimanjaro.”

Kwa mujibu wa makarani hao  sio mabasi yote  yenye tabia ya kupandisha nauli kiholela hasa katika kipindi cha kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

Hidaya Hassan, karani Kampuni ya Basi ya Tashrif ambayo mabasi yake yanafanya safari kati ya Dar es Salaam na Tanga, alisema nauli zinaweza kupanda kuanzia mwezi huu kwa kuwa kipindi hiki kunakuwapo na idadi kubwa ya abiria wanaotaka kusafiri kwenda mikoani huku idadi ya magari ikiwa ni ndogo.

Shekha Lema, karani Kampuni ya Basi ya Master City Ltd ambayo mabasi yake  yanafanya safari kati ya Dar es Salaam na Mwanza na maeneo mengine, alisema nauli bado hazijaanza kupanda kwani inakuwa vigumu kwao kufanya hivyo kwa kuwa hata vitabu vyenyewe vya risiti vimegongwa muhuri na abiria ni wachache.

“Sisi mabasi ya kampuni yetu yanayofanya safari kati ya Dar na Mwanza, nauli bado ni ile ile ya Sh.35, 400, hatuwezi kuibadilisha,” alisema Lema na kuongeza:

Baadhi ya makarani hao pia, wamedai kuwa upandishwaji holela wa nauli haufanywi na kampuni bali hufanywa na madalali ambao hununua tiketi na kuwauzia abiria kwa bei kubwa na matokeo yake Sumatra inapokagua wanaolaumiwa ni kampuni, jambao ambalo wamesema si kweli.

“Upandishwaji wa nauli kiholela ni kama vile mfumuko wa bei za vitu au bidhaa masokoni. Madalali ndio wanaohusika na upandishaji huo kwa kununua tiketi na kuziuza tena kwa abiria kwa bei kubwa, na wala sio kampuni,” alisema Meneja wa Kampuni ya Mabasi ya Master City Ltd, Miraji Mgongolwa.

Hata hivyo, maelezo ya baadhi ya makarani hao waliokuwa wanadai kutokupanda kwa nauli hizo, kunakinzana na nauli aliyotozwa abiria mmoja aliyekuwa anasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza baada ya kukatiwa tiketi ya Sh. 38,000 tofauti na na ile ya 35,400 iliyotajwa kutozwa na Kampuni ya Master City.

“Naenda Mwanza, nimelipa nauli ya Sh. 38, 000,” alisema Mwita Wilson (25) akiwa UBT muda mfupi baada ya kukata tiketi. Kinyunyu George, Karani wa Kampuni ya Mabasi ya Mapanda, alisema kuwa nauli bado hazijapanda kwani Sumatra wapo wakivinjari kituoni hapo huku wakiwauliza abiria iwapo wametozwa nauli zaidi ya ile iliyopangwa na ma
mlaka
EXPERTS ,from German  have  called upon Tanzanian  government to exercise maximum care in uranium exploration and extraction to ensure the mineral does not affect people’s health.

“There is no way that you can mine uranium without damage to the environment. Experience all over the world shows that there is no way people can mine uranium properly without damaging the environment or endangering the health of the people,” said the chairman of the Germany-based Uranium Network, Gunter Wippel.


He gave the advice at a news conference organised by the Legal and Human Right Centre (LHRC) to share experiences on uranium mining in his home country.


Wippel cited the example of Germany, saying despite having money and technological capacity it is compelled to spend at least 7.0 billion Euros to maintain all mines after uranium extraction.


Thousands of German uranium miners, he said, died of lung cancer for working in poorly vented underground shafts in the 1950s.


He said for Tanzania, like other countries, discharge of radioactive and poisonous contaminants as well as other effects of mining such as heavy freight, traffic, water consumption will challenge the integrity of the mining area.


Wippel said dealing with uranium mining was more hazardous than other types of mining because of its long term effects.


The expert noted that uranium mining hazards are enhanced by local risk factors which include large-scale flooding during the rain season, safety of mine facilities, direct exposure of people to dust and water due to traditional life styles.


“Due to the shallow nature of the uranium deposits at Bahi and Manyoni, it is likely that people get in contact with elevated radiations and wells might be contaminated naturally. However this phenomenon needs to be examined in depth before drawing any conclusion,” he said.


Another expert, Martin Kurz, said his organisation was informed about Bahi district being subjected to uranium exploration by its partners in 2008.


“We were scared about how the people will be affected. I got in touch with Gunter and we’ve informed ourselves on the problem of mining and we are still thinking of how it threatens people’s lives at the area,” he said.


LHCR acting executive director Imelda Urio urged the government to halt its plan of uranium exploration and extraction and look alternative sources of income because of the metal’s adverse effects.

 “We advise the government to find alternative sources of income to rejuvenate the national economy or for increasing revenue instead of dealing with uranium exploration,” she said.
She said research carried out by her organsation has shown that people living in areas surrounding uranium exploration projects were ignorant of the hazardous mineral, nor do they know its uses or advantages.

When contacted for comment on the matter, Deputy Minister for Energy and Minerals Stephen Masele said the government has not issued any permit for uranium extraction pending environmental impact assessment by the National Environmental Management Council.

Monday, December 3, 2012


 Grant to support regional integration initiatives,


The EAC and  have signed a financial grant agreement worth 30 million Norwegian Krone (approximately US $5.3 million) for the period 2012 to 2014.
EAC Secretary General Amb. Dr. Richard Sezibera and Norway’s Ambassador to the United Republic of Tanzania with an accreditation to the Community, Her Excellency Ms. Ingunn Klepsvik, signed on behalf of EAC and Norway respectively.
The funds, disbursed through the EAC’s basket fund mechanism known as the Partnership Fund, will support initiatives to enhance regional integration and socio-economic development of the EAC.
A press release from EAC communication department suggested stated  that  the funds will be used to support the implementation of the EAC Development Strategy and provide technical assistance to the Community.
It further elaborated that the grant will support institutional and human resource capacity building for the EAC and support key studies required to support regional integration as well as implementation of the study findings.
According to the agreement, an initial disbursement of 10 million Norwegian Krone (approximately US $1.8 million) will now be made by Norway’s Ministry of Foreign Affairs.
Norway is one of the founding members and a contributor to the EAC Partnership Fund
Also present at the signing ceremony was the head of the resource mobilization unit at the EAC, Dr. James Njagu

Sunday, December 2, 2012


Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake, Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli, Reuben ole Kunai.

Saturday, December 1, 2012

PICHA MBALIMBALI ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI UKIMWI
WAGENI NAO WALIKUWA MAKINI KUFUATILIA MATUKIO YA MAADHIMISHO YA UKIMWI
RAIS KIKWETE AKIWAHUTUBIA WANANCHI





AFRICAN research consortium Biannual Research Workshop which is expected to bring together 200 researchers, academics, policy-makers and other economists who participate in the Research Programme will convene on Sunday in Arusha Tanzania  to discuss Gender Economic development in Africa

 The workshops  which will take place  at Mount Meru Hotel will provide  a forum in which the participants can meet each other within a worldwide network of professionals, and deal with issues relevant to Africa’s economic development.

The session, which will be chaired by Prof. Charles Soludo, former Governor Central Bank of Nigeria and now, the Chairman of Institute for African Heritage, Nigeria will feature four presentations by distinguished economists. Stephanie Seguino of University of Vermont, USA, and Maureen Were, Central Bank of Kenya,  who will start off the proceedings with a look at Gender, Development and Growth in Sub-Saharan Africa.

A press release issued by AERC communication  stated that other papers expected to be presented will be Collecting Gender Disaggregated Data to Improve Development Policies by Cheryl Doss, Yale University, USA and  the the third paper will be Gender and Economic Empowerment in Africa and   Evidence and Policy Issues by Naomi Wekwete, University of Zimbabwe.

The last paper on The Care Economy in Africa Subsistence Production and Unpaid Care will be presented by Nancy Folbre, University of Massachusetts, USA.

Time Management

Translator

Popular Posts

Blog Archive

Fellow Bloggers

Popular Posts

Visitors Worldwide

Total Pageviews