Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
11 hours ago



Dar Es Salaam Time
0 comments:
Post a Comment