Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA ASHIRIKI MAZISHI YA NDUGU NASSOR HAMDANI TABORA
-
Na Mwandishi Wetu, Tabora
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara,John Mongella, kwa
niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migir...
42 minutes ago



Dar Es Salaam Time
0 comments:
Post a Comment