Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
Elimu : Dkt. Biteko Aeleza Mapinduzi Yaliyofanywa na Serikali kwenye Sekta
ya Elimu
-
-Ataka CWT wasigawanyike, ahimiza amani, upendo na mshikamano*
-Serikali kuendelea kuajiri walimu kila mwaka
- Serikali ya Awamu ya Sita yajenga madaras...
5 hours ago
0 comments:
Post a Comment