Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa ( Pichani juu wa pili
kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge wanaounda timu ya Bunge
Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi na Bunge la
Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana alichowaandalia Nyumbani kwake,
Ngarashi Wilayani Monduli mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wengine
kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa
Habari,Vijana Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla, Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni,Mh. Iddi Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli,
Reuben ole Kunai.
PUMA ENERGY TANZANIA YACHANGIA MITUNGI YA GESI KATIKA UZINDUZI WA MBIO ZA
MWENGE WA UHURU WILAYANI MKURANGA
-
Puma Energy Tanzania imeshiriki katika shughuli za za Mbio za Mwenge wa
Uhuru katika Wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani, ambazo ziliongozwa na
Waziri wizar...
6 hours ago
0 comments:
Post a Comment