WATU
wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya kokoto
katika eneo la Terat nje kidogo ya Jiji la Arusha.
Kufuatia tukio hilo serikali mkoani Arusha imepiga marufuku
uchimbaji wa kokoto katika eneo hilo na kuagiza kamati iliyoundwa mwaka jana
baada ya ajali kama hiyo kutokea katika eneo la Moshono kufanya uchunguzi katika migodi yote.
Kwa mujibu wa Mulongo kamati hiyo itatakiwa kuleta
mapendekezo na...
TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI
-
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kupata pongezi kutoka kwa wawekezaji wa
kigeni kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, ikiwemo
kurahisish...
2 hours ago