WATU 872 kutoka kaya 72 katika
kata ya Bwawani Wilayani Areumeru Mkoani Arusha ,hawana mahali pa kuishi
baada ya nyumba zao kusombwa na maji pamoja na samani zao zao za ndani .
Mvua hizo pia zimeharibu mamia ya hekari zenye mazao
mbalimbali zilizokuwa zimepandwa na wananchi wa kata ya
Bwawani katika vijini vya Temi ya Simba na Kijiji cha Bwawani .
Akizungumza na waandishi wa habari...
JUKWAA LA NNE LA UTEKELEZAJI WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA
YA MADINI LILETE MABADILIKO -OLLAL
-
MWANZA
Wadau wa madini nchini wametakiwa kutumia Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa
Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta la Madini kama kichocheo c...
2 hours ago