WATU 872 kutoka kaya 72 katika
kata ya Bwawani Wilayani Areumeru Mkoani Arusha ,hawana mahali pa kuishi
baada ya nyumba zao kusombwa na maji pamoja na samani zao zao za ndani .
Mvua hizo pia zimeharibu mamia ya hekari zenye mazao
mbalimbali zilizokuwa zimepandwa na wananchi wa kata ya
Bwawani katika vijini vya Temi ya Simba na Kijiji cha Bwawani .
Akizungumza na waandishi wa habari...
KAFULILA AWAKOSHA WASOMI CHUO KIKUU AKIELEZA UMUHIMU WA PPP KUELEKEA
TANZANIA YA 2050
-
*Asisitiza nafasi ya kuwa na rasilimali watu wenye Maarifa kufikia lengo
*Achambua hoja za wasomi akieleza nafasi ya PPP katika kutekeleza miradi
Na Said M...
6 hours ago