SERIKALI imewataka viongozi wa dini kuwa mstari wa mbele kuhimiza utunzaji wa mazingira kwa waumini wao ikiwa ni harakati za kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kupanda miti ya asili inayotunza mazingira .
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyerembe Munasa wakati akizungumza na wananchiw a Arumeru kata ya Akheri Tengeru ,wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya mradi wa utunzaji wa mazingira baina...
MRADI WA UMWAGILIAJI MPUNGA WA MANDAKA MNONO KATA YA OLDMOSHI MAGHARIBI
KULETA KILIMO CHA UHAKIKA KWA MISIMU YOTE.
-
Na WILLIUM PAUL, MOSHI.
WAKULIMA wa Mpunga wa kijiji cha Mandaka Mnono katika Kata ya Oldmoshi
Magharibi mbioni kunufaika na mradi mkubwa wa umwagiliaj...
1 hour ago