SERIKALI imewataka viongozi wa dini kuwa mstari wa mbele kuhimiza utunzaji wa mazingira kwa waumini wao ikiwa ni harakati za kuzuia uharibifu wa mazingira kwa kupanda miti ya asili inayotunza mazingira .
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyerembe Munasa wakati akizungumza na wananchiw a Arumeru kata ya Akheri Tengeru ,wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya mradi wa utunzaji wa mazingira baina...
Puma Energy Tanzania Yaunga Mkono Maadhimisho ya Siku ya Samia kwa
Kuchangia Nishati Safi ya Kupikia
-
Kampuni ya Puma Energy Tanzania leo imeungana na wakazi wa mkoa wa Dodoma
katika kusherehekea Siku ya Samia, ikiwa ni kuenzi uongozi wa Rais wa
Jamhuri ya ...
18 hours ago