Sunday, October 28, 2012

Mfuasi wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)jina lake halikuweza kufahamika mara moja akiwa na majeraha kichwani baada ya kushambuliwa na  watu wanaodhaniwa kuwa vijana wa CCM katika kituo cha kupigia kura Jijijini Arusha kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya daraja Mbili Manispaa ya Arusha.

0 comments:

Post a Comment

Time Management

Translator

Popular Posts

Blog Archive

Fellow Bloggers

Popular Posts

Visitors Worldwide

Total Pageviews