Sunday, October 28, 2012


CHAMA,cha demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo katika kata ya Daraja mbili katika  Manispaa ya ya Jiji la Arusha.
katika uchaguzi huo chadema walivuna kura 2047 huku Chama cha Mapinduzi (CCM)kikipata kura 1214.
vyama vingine vilivyoshiriki katika uchaguzi huo ambavyo ni TLP  kilipata kura 31 Chama cha wananchi (CUF) kura 162 na NCCR Mageuzi kikiambulia kura 18.

 



0 comments:

Post a Comment

Time Management

Translator

Popular Posts

Blog Archive

Fellow Bloggers

Popular Posts

Visitors Worldwide

Total Pageviews